Tel: +255752115528| Mail: info@elctmwd.org



       MWANGA BOOK SHOP         OUR PARTNERS   

    UZINDUZI OFISI ZA MAKAO MAKUU YA DAYOSISI

    Mhe. Baba Askofu Chediel Elinanza Sendoro Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Mwanga akikabidhi zawadi ya Kondoo ilionunuliwa na washarika kwa Mgeni Rasmi.Mhe.. Deogratius J. Ndejembi Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI ambapo ameshiriki Ibada ya uzinduzi wa Harambee ya Maendeleo KKKT Dayosisi Ya Mwanga akimuakilisha Waziri wa Fedha wa Jamuuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.. Mwigulu Nchemba.