-
MWANGA BOOK SHOP
OUR PARTNERS

NAIBU WAZIRI WA AFYA
Mhe. Dr. Godwin Oloyce Mollel (Mb) na Naibu waziri wa Afya ameshiriki Ibada ya kubariki Wachungaji, kuadhimisha miaka saba ya Dayosisi ya Mwanga na kilele cha Harambee ya Maendeleo ya Dayosisi ilio fanyika Usharika wa Kanisa Kuu Mwanga . Akimuakilisha Waziri wa Fedha Mhe. Dr. Mwigulu Nchemba ambaye alikubali Kuwa mgeni Rasmi.